Shirika la Riadha la Kenya

Shirika la Riadha la Kenya linalojulikana kama AK ni jumuia linazosimamia Riadha nchini Kenya. Shirika hili ni memba wa IAAF na Shirikisho la Riadha Afrika. AK huratibu mashindano ya Riadha nchini Kenya. Pia hutuma timu ya Kenya kushiriki katika mashindano ya kimataifa. Isaiah Kiplagat ndiye mwenyekiti sasa hivi wa Riahda nchini Kenya. AK ina ofisi zake kuu katika Riadha House, karibu na Uwanja wa Kitaifa wa Nyayo, Nairobi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy